Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nina bahati ya kushinda kila aina ya uraibu ninaopambana nao. Hata JF hapa na mitandaoni huko nikiamua kupumzika napumzika hata mwezi+ nikitaka naweza. Wewe unaweza kukaa siku ngapi bila kuja hapa JF na kwingineko mitandaoni?
Mm ni jf tu ndio ninaitumia ninaeweza kukaa siku zozote nikijisikia kutoingia sina uraibu huu kwakweli eti naweza kukaa bila kuingia jf
 
...kama mimi nina mahela hadi serikali imeamua kunikopa korosho zangu kwa kuwa wanajua sina shida ndogo ndogo.

Waulize kina Tumosa na binamu ningendako hawa wanajua nina hela na nikaaahidi atakayeniunganishia Wema Sepenga basi ninampa hela ya kununua Toyo mpya, cash bin taslimu
Hahahah nakuona binamu,hizo sifa zote ni kwa ajiri ya kumpata Sepenga pekee
 
Back
Top Bottom