Nimeona watu wengi sana wanalalamika *TATIZO la notification* ukitumia application ya Jf kwenye simu.
Jaribu kufanya yafuatayo UNAWEZA UKAFANIKIWA.
1.Nenda kwenye settings za simu tafuta kitu kinaitwa *notification center*
Fungua hapo then kitatokea kitu kama hiki hapa chini.
Click hapo kwenye jamii forums then SWITCH ON kila kitu, kama hivi hapa chini
Baada ya hapo zitakuja bila kupenda labda kama simu yako ni kimeo.
2.Njia ya pili ya kukufikisha hapo ni kwa kupitia sehemu ya simu iliyoandikwa phone MANAGER(hii kitu inakuja na simu ukiitafuta utaiona hapo kwenye applications)
click then itafunguka kama hivi hapa chini
Utaona sehemu imeandikwa notification center,click hapo then fuata hizo steps kama kwenye njia ya mwanzo.
I hope itawasaidia BAADHI*
*___________________________*