Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Poa manNamzingua tuu huyu mtani wangu wa Barcelona.
Sina tatizo naye ilaamenioshea sana alivyochukua kombe leo
........
Poa manNamzingua tuu huyu mtani wangu wa Barcelona.
Sina tatizo naye ilaamenioshea sana alivyochukua kombe leo
Hii lugha hatari sana.なさはならはな屋台流れまやかたなは
Cheka tu
Ucjali.. ilikuwa ni utani tuuMkuu NAKUOMBA ACHA MATUSI
Hapa tupo peace & funny
Me mwenyewe sipendi Barcelona lkn situkani
..................
Couple mpya mjini.Aisee![]()
![]()
![]()
Leo raha sana
Ntakusemea
Hahahahaa....Utasutwa, ohoo..!
Nia yangu nilitaka tuu kumuharibia furaha yake coz yeye anafuraha alafu anatuoshea sanaPoa man
........
Mkuu leo una nini?
Unahitaji mtongozo au?Nimeanza kurembua
Mrembo wako ni nani humu?Karibu tusheherekee ndani ya Makapuku forum tukiwa na warembo wakali![]()
![]()
Cheka tu
Utarudi kule kule kwa masihara
Mfano jamaa AKRIPORT tu umekwisha...mod wa sasa hawataki masihara mkuu
........
yameisha
Huyo ni mwanamke au?Hata ukikasirika we MLEMBO tyu![]()
Na kwako pia kaka.Nawatakia usiku mwema wapendwa.
Pamoja sana kaka.Endelea kusoma tu
Ujumbe umefika braza.Sana tu
Usiku mwema brazaUjumbe umefika braza.
Akuu, mie nipo namba 0Kadi yako ya uanachama ya team Mendez ni namba 3