Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Acha uchokozi wako jamanii kivurugeWasijekunifuata hotelini tuu
#Tununu
#sijaona
Acha uchokozi wako jamanii kivurugeWasijekunifuata hotelini tuu
#Tununu
#sijaona
Hahaaaaaaa !Hamna bana
Watu wa huko ni visuu
Wewe utakuwa upo wapi eti kivuruge...Hahaaaaaaa !
Ujue mimi sitaki nimkosee Mungu..
#Nashindwa kuona Tofauti
Acha uchokozi wako jamanii kivuruge
Kwani umemaliza palizi baba NaahHahaaaa haaaa
#kesho mimi naondoka
Nimemaliza ..Kwani umemaliza palizi baba Naah
Pole sana jamani kivuruge...Nimemaliza ..
Toka jtano nipo huku..
#nasema sijaona.
Ngoja nirudi kwanza mjiniPole sana jamani kivuruge...
Bora tuu usione wasikuibe babe wangu!
Hahaha hahaha hahahaNgoja nirudi kwanza mjini
#Narudi bila kula mtu
Roho inauma...Hahaha hahaha hahaha
Muone kwanza!
Ulitaka kumkula nani eti
Hahaha hahahaRoho inauma...
Mnyakyusa yoyote mama Naah..
#Sala za mama Nah zimefanya kazi.
Hahaaaa...Hahaha hahaha
Na usije ukajaribuuu...
#Yesu wangu ni kijana
Baridi si uruke kamba hukooo..Hahaaaa...
Hili baridi sio la kawaida..
#Dada wa airport anakuja.
Mama Naah natoa wapi kamba usiku huu lakini ?Baridi si uruke kamba hukooo..
Baba Naah kama unataka kuniudhi endelea na huo mpango wako
Sio lazima kamba,.Mama Naah natoa wapi kamba usiku huu lakini ?
#Receptionist haeleweki
Sio lazima kamba,.
Basi naomba ulale sasa!Sasa na hili limwili langu si nitaamsha watu...
#nahesabu dakika
Nalala mama...Basi naomba ulale sasa!
Sawa baba Naa wanguNalala mama...
Ngoja nipande kitandani..
#Mtii mke wako.
Ngoja nilale sasa mama Nah..Sawa baba Naa wangu