Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,503
- 18,952
Unakumbuka kipindi kile unacomment na kujijibu mwenyewe? 😂 Watu wanatoka mbali sana espyShindwa mie sio kapuku.
Unakumbuka kipindi kile unacomment na kujijibu mwenyewe? 😂 Watu wanatoka mbali sana espyShindwa mie sio kapuku.
HahahahaShindwa mie sio kapuku.
Hahahahahaha...nimekuelewa🤣🤣🤣🤣
Maneno huumba dada!
😳😳😳😳😳Unakumbuka kipindi kile unacomment na kujijibu mwenyewe? 😂 Watu wanatoka mbali sana espy
Hahahahaha kuna kitu nimekisoma hapaUnakumbuka kipindi kile unacomment na kujijibu mwenyewe? 😂 Watu wanatoka mbali sana espy
Tym flies aisee 😂😳😳😳😳😳
Dogo unaelewa hata unachoandika?
Kaka umesoma nini?Hahahahaha kuna kitu nimekisoma hapa
Dogo unaelewa hata unachoandika?



auntie ebu niambie basi ilikuwaje kuwaje yaniiiiiKuhusu nini auntie?auntie ebu niambie basi ilikuwaje kuwaje yaniiiii
Safi sana br Poker , fikisha salaam zangu kwa mtoto asiye na makuu Makiwendo, mwenye shepu lake zuri, mwambie namsalim kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Habari za jioni Makiwendo mrembo usiye na makuu, mwenye shape lako zuri. Nakusalimia popote ulipo maana Mungu alikuumba ukaumbika haswa. Ningeijua namba yako ningekuwire hata bando la wiki nzima.
Nawasalimu makapuku wote popote mlipo jioni hii Atoto Lee makaveli10 moudgulf Mjep Shunie Tresor Mandala Carasco Putin Mideko
Amenituma nimpokelee ujumbe wakeShunie 😂😂😂 napita
Afu nakutafuta
🙏🙏Haya kumekucha tena nimatumaini yangu mu wazima wa afya kabisa. moudgulf Mjep Lee makaveli10 Carasco Putin Tresor Mandala Atoto Mideko Shunie Makiwendo
Tujifunze kuweka tabasamu, maana hapo ulipo kuna watu wanatamani wawepo ila wameshindwa!