Everton wanapanga dau la £35m kwa ajili ya mshambuliaji wa Bournemouth Muimngereza Callum Wilson, mwenye umri wa miaka 27, lakini hawakutaka kulazimishwa kumuuza mchezaji wa kimataifa wa Senegal Idrissa Gueye, mwenye umri wa miaka 29, kwa mkataba wa pesa. (Sun)