Hahahaha, asee kwann umesema hivi Mkuu...ttushafungulia sasa, naruhusiwa kuandika chochote.
Nikupe ushauri rahisi tu, huyu aunt yangu asikwambie kitu wewe cha kufanya mpigie selfie na umwambie kuwa kwa picha yake tu umemwagia wazungu.
Ushauri huu ni nadra sana kuupata toka kwa mtu msiyeheshimiana
Hahahaha, asee kwann umesema hivi Mkuu
Ha ha ha ha binamu,hizo pesa zitatosha kweli??maana ahadi zinazidi kumiminika tu...ha hahaha, basi jiandae, nikilipwa zile hela zangu uende na wewe intaneshno skuli ukale kozi ya kuongea
Ha ha ha ha binamu,hizo pesa zitatosha kweli??maana ahadi zinazidi kumiminika tu
Madini jamani we mzee niliyokukuta unayaongelea jana habari na hoja
Hahahhaha hayo mambo bado yapoPorini kupo poa tu,karbu tumuangalie Dj Afro![]()
Nakuona ankoo,,wouzeeeer
Majina yote hayo ya shunie,,,shangazi,rafiki,kipenzi
Umesahau na lile la insta baby!!
Ha ha ha ha hapana ankooo,,shunie ana majina kama yote,,hujaona hapa anaitwa insta baby
Ngoja aje ankoo![]()



Mniwacheee
Hivi hizo hela bado kuna kulipwa kweli...ha hahaha, basi jiandae, nikilipwa zile hela zangu uende na wewe intaneshno skuli ukale kozi ya kuongea
Hahhahhaha binamu mdanganye huyo mzee...ttushafungulia sasa, naruhusiwa kuandika chochote.
Nikupe ushauri rahisi tu, huyu aunt yangu asikwambie kitu wewe cha kufanya mpigie selfie na umwambie kuwa kwa picha yake tu umemwagia wazungu.
Ushauri huu ni nadra sana kuupata toka kwa mtu msiyeheshimiana
Binamu hilo jina nimepewa na Jimmie Gatsby...hiii insta baby imenipa mawazo sana, inawezekana vipi aunt yangu Shunie awe na jina ambalo ndugu yake mimi silijui. Kwa kweli imeniuma sana
Hahahaha, nilikua nachangia kdg mawazo, vipi lkn Shangazi Shunie uko poa ?Madini jamani we mzee niliyokukuta unayaongelea jana habari na hoja
Hahaha binamu na kwenye pamba pia upo??hizo fursana tutaoga zingine sasa,maana sio kwa mkwanja huo utakao ingiza.....yaani hapa binamu kitakachokuwa hakitoshi labda ni muda tu, fikiria nilipwe hela hizo unazozijua (nilileta risiti humu/stakabadhi ghalani).
Ahadi nazimimina tu maana nikilipwa hizi hela na msimu wa pamba umeanza, nitakuwa kama donor wa Senegal (huwa unaangalia Mizengwe ha hahahahah)
Nitamgawia kila niliyemuahidi na zaidi kila mmoja atakuwa na uwezo wa kutembelea flyover furee kufidia ucheleweshaji wangu wa kukamilisha ahadi
Ndio,kwenu huko haya mambo hakuna najuaHahahhaha hayo mambo bado yapo