Makapuku Forum

Makapuku Forum

Anajua utampiga mzinga,pesa za koroshow kalipwa tyl

..duh binamu hata wewe ni wa kunifanyia fitna.Hela hatujalipwa, ingekuwa nimelipwa ningeacha kukualika kwenye ndoa zangu za Ramadhani?

Nililipwa kidogo sana ila nikazimalizia kwenye vunnjajungu, hapa Mtwara huwa tunalivunja kweli kweli
 
Hongera Wamama Wote Wa JF na Makapuku Forum

tenor.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom