Makapuku Forum

Makapuku Forum

Baba yetu na Mungu wetu tunakushukuru kwa ulinzi mchana kutwa asante kwa yote uliyotutendea Tunaomba Toba kwa makosa yote tuliyotenda kwa mawazo,maneno,matendo na kutotimiza wajibu mbalimbali Uturehemu Twakusihi..usiku Wa Leo tunaomba utulinde Yehova utuepushe na ajali na hatari mbalimbali za kimwili na kiroho tunaomba malaika walinzi wazingire nyumba zetu na kesho Baba utuamshe salama endelea kutupigania Mfalme Wa Amani tufariji,Tuponye,Tutie nguvu walinde ndugu,jamaa,marafiki wote wape tumaini na imarisha imani kwa kila mmoja wetu DAMU Takatifu ya YESU Kristo Itufunike Tunaomba yote katika jina LA YESU Kristo Amen ..Usiku mwema
Ameeen
 
Baba yetu na Mungu wetu tunakushukuru kwa ulinzi mchana kutwa asante kwa yote uliyotutendea Tunaomba Toba kwa makosa yote tuliyotenda kwa mawazo,maneno,matendo na kutotimiza wajibu mbalimbali Uturehemu Twakusihi..usiku Wa Leo tunaomba utulinde Yehova utuepushe na ajali na hatari mbalimbali za kimwili na kiroho tunaomba malaika walinzi wazingire nyumba zetu na kesho Baba utuamshe salama endelea kutupigania Mfalme Wa Amani tufariji,Tuponye,Tutie nguvu walinde ndugu,jamaa,marafiki wote wape tumaini na imarisha imani kwa kila mmoja wetu DAMU Takatifu ya YESU Kristo Itufunike Tunaomba yote katika jina LA YESU Kristo Amen ..Usiku mwema
Kwema dada ake?
 
..
Screenshot_20190502-094356.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom