Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hii stuation ya wanaume wa Mtwara kukimbia upepo na kujikusanya sehemu moja tena upepo wenyew una jina la mwaume mwenzao ingekuwa n wanaume wa Dar wangeongea sana

Cc Obe
 
Transcend wetu sisi [emoji8][emoji8][emoji8] wa mama naah peke yake

Tunakukumbusha tu mwezi ujao tar 10 mnyama wetu klugger mweusi anaingia kama ulivyomuahidi mama naah

Mbeba pochi wake nilikuwa nakukumbusha tu nipo tayari kuninginiza funguo ya mnyamaaaaaa [emoji6][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Transcend wetu sisi [emoji8][emoji8][emoji8] wa mama naah peke yake

Tunakukumbusha tu mwezi ujao tar 10 mnyama wetu klugger mweusi anaingia kama ulivyomuahidi mama naah

Mbeba pochi wake nilikuwa nakukumbusha tu nipo tayari kuninginiza funguo ya mnyamaaaaaa [emoji6][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha hahaha hahaha hahaha
Hivi umekuja humu kweliii
 
Back
Top Bottom