Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahahaha kumbe unachukuaga size ndogo eenh hata ile jezi ya simba uliyovaa siku ile ilikubana bana
Hahaha hahaha hahaha
Sasa hata yeye huwa zinambanaa! Zile kubwa navaaga chumbani na high hills kama kina Uwoya najiangalia tuu kwenye kioo bila suruali halafu navua! Zinakuwa kama kigauni kifupi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] fwala ww nilijua uliongea WhatsApp tu kumbe mpaka huku

Ebu niambie mbona unalazimisha hivi unataka kugundua nn eti
Hahaha hahaha hahaha hahaha

Nilianzia huku, kumbe mlikuwa mshahamia wasap!

Nataka tujadiliane tuu
 
Hahaha hahaha hahaha
Sasa hata yeye huwa zinambanaa! Zile kubwa navaaga chumbani na high hills kama kina Uwoya najiangalia tuu kwenye kioo bila suruali halafu navua! Zinakuwa kama kigauni kifupi
Ebu uwage unanitumia picha hizo fupi za kuvaa na hills
 
Back
Top Bottom