mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
SawaKuimba hip hop
SawaKuimba hip hop
Hahaha hahaha hahaha hahahaNa sasa ni taraweh
Shukran kwa mziki na ufahamisho wa mwanamziki.easy furahiday and happy wikend wadau wote. Nawakumbuka, itoshe tu kusema ninyi ni watu wema sana na ni sababu tosha ya kuwa hapa na kufurahia maisha.
Wikend ndo inaanza na mdau mwenzenu mnajua napenda burudani na wewe huchukiii kuburudika na leo sasa ninakuja kwa utaratibu kabisa.
Anaitwa Michael Kiwanuka (yes, uko sahihi) Muingereza huyu kwa kuzaliwa ila asili yakeni kwa majirani zetu Uganda-family yake ilikimbia enzi za Nduli Field Masho IAD.
Anapiga gitaa na keshafanya kazi pamoja na Adele, nyimbo zake zinatamba na kusikika kwenye filamu kadhaa Seven Seconds, Dear white People (Netflix) na Empire (Fox) kutaja chache, kifupi tu jamaa wimbo wake umetumika kwenye Big Little Lies ya HBO. Hutaki kumsikiliza maneno yake basi sikiza sauti na kama sauti inakuchosha basi gitaa na kama vyote basi soma mashairi yake.
Utakuwa na wakati mzuri uiku hu na wikend njema mdau unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Niambie Boss wangu mzee wa kutekwaBosiiiiiiiiiiiiiiii
Napataje huo usingiziUlivyokula mchana hujalala wewe



ujue leo tar 27 halafu huniulizi nimemalizaje tatizo
Mbona huwa zinakubana sasa na wakati mdogo wake tundu lissu ako na mwiliHuamini amaaa...
Sasa T-shirt zoote nazovaa huwa namdokolea!
Hahaaha yaan wwBhasiiii itakuwa halotel nmekosea code










lakin uliniambiaa nitekweee sikujitakiaa
Niambie Boss wangu mzee wa kutekwa
Habari zangu mm uniulizie kwa mtu mwingineShunie mzima ?
Habari zangu mm uniulizie kwa mtu mwingine
Niko poa babe za wwKibonge kbs.
Uzima wako mama kibonge.?
Bosiiiiiiiiiii nddo unafungua simu tokea janaHahaaha yaan ww
Sasa mm nafanyaje mwenyewe ulishaonyesha nia ya kutaka kutekwa hata ningekataza isingesaidialakin uliniambiaa nitekweee sikujitakiaa
Sasa mm nalala naeNiliuliza kwa mtu chakeeee
Walah simu yangu ipo on mda woteBosiiiiiiiiiii nddo unafungua simu tokea jana
Sasa mm nafanyaje mwenyewe ulishaonyesha nia ya kutaka kutekwa hata ningekataza isingesaidia
Kwahiyo bado upo matekani
Hapana nakusikilizaaa wewe ...ila ndo natoka kwa find ujue



Mm unanisikiliza nn sasa kwani moyo wako unasemaje unataka uendelee kutekwa au vipi
Alafuuuu njoo kule kwanzaaa utaniabishaaa bureeMm unanisikiliza nn sasa kwani moyo wako unasemaje unataka uendelee kutekwa au vipi
Alafuuuu njoo kule kwanzaaa utaniabishaaa buree





Nimecheka kwa nguvu nakuaibishaje sasa kule nimefuta