mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Unisameh basi dadaake shunie
Sitaki kind yako
Sitaki kind yako
Sawa mzee!Haya bana
Nishakusamehe mimi babu yake Shunie!Unisameh basi dadaake shunie
Nishakusamehe mimi babu yake Shunie!
HayaAsante kwa ukarimu wako dadaake shunie
Uje usutwe bure na uzee huo mpaka msuli uwe mzitoNimesikia kwamba na wewe tangu umepandishwa cheo umekuwa adimu humu..... Hmmm nisije nikasutwa.... Lakini Magu c alisimamisha kwa muda kupandisha watu vyeo au umepata upendeleo maalum![]()






Kaka ake vibaya hvoateseke tu
Asante jamani TelemundoUsiku mwema wadau, mdau wenu naingia lindo na siwaachi hivi hivi. Naacha na muziki



Uje usutwe bure na uzee huo mpaka msuli uwe mzito![]()
Wazima wa afya mjomba..Wazima humu Makapuku
Safi Sana km ni wazima, huku salama kabisaWazima wa afya mjomba..
Habari za huko ulipo
Kaka ake vibaya hvo

Safi Sana km ni wazima, huku salama kabisa
Shangazi wa Congo hajambo,?
Na umetuletea zawadi wanao wa zamani.?![]()
InshaAllah twaingoja km tutakua wa wazima kuifikiaHahahaha, Congo sina shangazi, zawadi mpk Eid Mubarak