Makapuku Forum

Makapuku Forum

Au ikute ndio yale kama ya yule jamaa aliyevurugwa na Sakayo ! Mtu chake kashindwa tuu kufungua Thread.

Mtu chake yeye hana shida na thread anakufa na tai shingoni kama mjerumani

Halafu sasa T mtu chake mm namshangaa kuna wanawake wanampenda humu mpaka wanamfungulia thread na kumwambia kwenye comments yeye yupo na shunie tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom