Mapenzi hayana mwenyewe unaweza penda kijana au mzee
Umeonaeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utani utani watu wanakulana pumbavuuuu
Tena kakamatika hasaa...Umebanwa wapi akiii
Uwiiiii !!!Ananikuna panaponikuna nikiwashwa [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mijitu ina bahati. Imagine ndo Msukuma naimbiwa hivi. Ng'ombe wote nitauza walahi. Na mashamba ya ukoo [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] niwaache mmUmebanwa wapi akiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nani huyo eti
Mngh!Ananikuna panaponikuna nikiwashwa [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
NdiwooooooHahaha hahaha hahaha
Wewe cheupe, tipwa tipwa halafu msambwanda unao. Sema tu unajifanyaga. Ila hizo sifa kwa Msukuma hata useme title ya mashamba ya ukoo unapewa. Tena wa kutoka Tanga?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo msukuma ww unapenda wenye mavyura acha flatscreen sisi tuimbe tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Najua leo ushapewa mahela...
Hebu fanya kama juzi eti
Naaaam naaam mpendwaAbeeee mpendwa
Si ulimjibu dadaHamna
Anifundishe hicho kiitaliano
Ndiwoooooo
Hahaha hahaha hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Najua unajua sema unajifanya hujui
Kwakweli hata mm siutaki utani kwa mbebez wangu kumbe nje ya jf wanavuana vyupi mfyuuuuuuUmeonaeeee
Mie utani sitaki