Mapenzi hayana mwenyewe unaweza penda kijana au mzee
Umeonaeeee
Utani utani watu wanakulana pumbavuuuu
Tena kakamatika hasaa...Umebanwa wapi akiii
Uwiiiii !!!Ananikuna panaponikuna nikiwashwa![]()
Kuna mijitu ina bahati. Imagine ndo Msukuma naimbiwa hivi. Ng'ombe wote nitauza walahi. Na mashamba ya ukoo![]()









Mngh!Ananikuna panaponikuna nikiwashwa![]()
NdiwooooooHahaha hahaha hahaha
Wewe cheupe, tipwa tipwa halafu msambwanda unao. Sema tu unajifanyaga. Ila hizo sifa kwa Msukuma hata useme title ya mashamba ya ukoo unapewa. Tena wa kutoka Tanga?
Tatizo msukuma ww unapenda wenye mavyura acha flatscreen sisi tuimbe tu
Najua leo ushapewa mahela...
Hebu fanya kama juzi eti






Naaaam naaam mpendwaAbeeee mpendwa
Si ulimjibu dadaHamna
Anifundishe hicho kiitaliano
Hahaha hahaha hahaha
Najua unajua sema unajifanya hujui
Kwakweli hata mm siutaki utani kwa mbebez wangu kumbe nje ya jf wanavuana vyupi mfyuuuuuuUmeonaeeee
Mie utani sitaki