Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ile stimu wanaita andasi,,bhasi bhana kuna mwaka nilikuwa A Town,mitaa ya mianzini,tumeshahandasika na ndugu yangu tunatembea barabarani kuelekea Tripple A,,,tulikujikuta mikononi mwa polisi bila hata kujijua

Kwanza andasi lile lilitufanya tusijue kama tunaongea na askari,mdomoni tunatafuna tena bila hata wasiwasi,,

Bhasi wale askari wa patro wakatubeba wakachukua na mzigo mwingine,,tukapiga nao misele kama masaa matatu hv,cha ajabu na wale mapai nao wakawa wanachanja,,walikuja kutuacha Ngaramtoni,,hahaha huwa nikikumbuka lile tukio nacheka sana
Were huyooo
 
Ile stimu wanaita andasi,,bhasi bhana kuna mwaka nilikuwa A Town,mitaa ya mianzini,tumeshahandasika na ndugu yangu tunatembea barabarani kuelekea Tripple A,,,tulikujikuta mikononi mwa polisi bila hata kujijua

Kwanza andasi lile lilitufanya tusijue kama tunaongea na askari,mdomoni tunatafuna tena bila hata wasiwasi,,

Bhasi wale askari wa patro wakatubeba wakachukua na mzigo mwingine,,tukapiga nao misele kama masaa matatu hv,cha ajabu na wale mapai nao wakawa wanachanja,,walikuja kutuacha Ngaramtoni,,hahaha huwa nikikumbuka lile tukio nacheka sana
Hayaaa sasa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom