Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ameen T mstari wa mwisho umenifanya nicheke

Kipindi namuona anakula mirungi na mm nikajaribu najionea natafuna majani tu sielewi chochote nikaacha
Hahahaa !

Kuna jamaa alikuwaga porter mlima kilimanjaro, he was my close friend..

Nakumbuka vile alikuwa wanakula na demu wake kabla na wakati wa kulana utamu..

[Hii ya wakati wa wanakula sikuwa shuhuda,ni ushuhuda wake hapo mwenyewe ]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebu sema basi ni kitu gani hiko baba wawili
Ile stimu wanaita andasi,,bhasi bhana kuna mwaka nilikuwa A Town,mitaa ya mianzini,tumeshahandasika na ndugu yangu tunatembea barabarani kuelekea Tripple A,,,tulikujikuta mikononi mwa polisi bila hata kujijua

Kwanza andasi lile lilitufanya tusijue kama tunaongea na askari,mdomoni tunatafuna tena bila hata wasiwasi,,

Bhasi wale askari wa patro wakatubeba wakachukua na mzigo mwingine,,tukapiga nao misele kama masaa matatu hv,cha ajabu na wale mapai nao wakawa wanachanja,,walikuja kutuacha Ngaramtoni,,hahaha huwa nikikumbuka lile tukio nacheka sana
 
..
Screenshot_20190317-181824.jpeg
Screenshot_20190317-181839.jpeg
Screenshot_20190317-181911.jpeg
 
Hahahaa !

Kuna jamaa alikuwaga porter mlima kilimanjaro, he was my close friend..

Nakumbuka vile alikuwa wanakula na demu wake kabla na wakati wa kulana utamu..

[Hii ya wakati wa wanakula sikuwa shuhuda,ni ushuhuda wake hapo mwenyewe ]



Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah usiombe uwe na demu na yeye anatumia haya majani,huwa ni shida sana
 
Hahahaa !

Kuna jamaa alikuwaga porter mlima kilimanjaro, he was my close friend..

Nakumbuka vile alikuwa wanakula na demu wake kabla na wakati wa kulana utamu..

[Hii ya wakati wa wanakula sikuwa shuhuda,ni ushuhuda wake hapo mwenyewe ]



Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiingia night shift ndio alikua anakula anasema zinapoteza usingizi nilijaribu kutafuna nikashindwa jamani
 
Ile stimu wanaita andasi,,bhasi bhana kuna mwaka nilikuwa A Town,mitaa ya mianzini,tumeshahandasika na ndugu yangu tunatembea barabarani kuelekea Tripple A,,,tulikujikuta mikononi mwa polisi bila hata kujijua

Kwanza andasi lile lilitufanya tusijue kama tunaongea na askari,mdomoni tunatafuna tena bila hata wasiwasi,,

Bhasi wale askari wa patro wakatubeba wakachukua na mzigo mwingine,,tukapiga nao misele kama masaa matatu hv,cha ajabu na wale mapai nao wakawa wanachanja,,walikuja kutuacha Ngaramtoni,,hahaha huwa nikikumbuka lile tukio nacheka sana
Kuchanja ndio nn baba wawili vijana mna maneno jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom