EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Watu wako viwanja, subiri Usiku.Leo likes ziko wapiiiii@posts zoote ni 1,2,3
Watu wako viwanja, subiri Usiku.Leo likes ziko wapiiiii@posts zoote ni 1,2,3
Kidogo anajitahi. Hongera kwa mwl wake.Huyu ni pupil wangu
Ila anajitahidi kwa sasa

Pepepongezi kwake naona kawa Pepe au Marcelo leo.....
hayaaa namngojeaaa
Kwa kweli nastahili pongezKidogo anajitahi. Hongera kwa mwl wake.
![]()
![]()
TUKO poa, habar yako Mkuu??Jaman mko poa!!?
thanks my mwalim wanguKidogo anajitahi. Hongera kwa mwl wake.
![]()
![]()
mbon unashangaa
Hongera, ongeza juhudi la sivyo itabidi uzaliwe upya ndo ujue Kingereza.thanks my mwalim wangu
akuje alete manuva hapa
Kaka habari ya kwako!Hivyo hivyo tu
Salama kabisa. Za weweKaka habari ya kwako!
mkuu siri ya mwanafunzi ni kumpa a lot of exercise na bakora nyingi....maneno tu yatamfanya aone simpleHongera, ongeza juhudi la sivyo itabidi uzaliwe upya ndo ujue Kingereza.
Hahahaaa....Mutu imefundishwa shabaha then ikamulenga mwalimu yake mukichwa paaa
Cc amaizing
Manuu
Jimena
