Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Shikamoo kaka akeHeh,,hizi tafiti hizi,Wazungu wakaona weusi tunafaidi sana sio
Shikamoo kaka akeHeh,,hizi tafiti hizi,Wazungu wakaona weusi tunafaidi sana sio
Wapi hukoHabari za cku makapuku wenzangu?nimewamiss mno kuna jukwaa flan wameniteka uko ila shunie hua twaonana nae sn huko!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nambie my dearDear
Abeeee kaka ake
Wala sikikesha kabisaaa!ulikesha na nani sasa
Ulilala saa ngapi dadaWala sikikesha kabisaaa!
Nilichoka mnoo! Nililala mapemaaaa
Saa nneUlilala saa ngapi dada
Hahahah....ndiyo ni jirani yangu huyo...umeitkia wito wa ningendako nami nakusalimia 🙂
Nakuja uko kwenu kula kuku kuna sehemu nilikukuta unapasifia


we naye mtembezi
Hahahahha nacheka mmSaa nne
Kama wewe

Hahaha shukran ankooHahahaha, kwema Kabisa, karibu mazoezi anko
MTC | 101|![]()
U mzima jiran?
Hahaha asante kwa kunkumbusha binamu...umeamka salama binamu? Mimi sijambo,
Nikutakie siku nzuri, Jtano leo kama ulikuwa hujarekebisha kalenda. LLL (Let Love Lead)
Hahaha...umeitkia wito wa ningendako nami nakusalimia 🙂
Hahaha acha zako bhanaEbu niambie baba wawili mnafaidi vipi
Marhaba dada yangu,,kwema huko??wawili wanaendeleajeShikamoo kaka ake
Natarajia mud huu baadhi humu mtakua kanisani ,niwatakie Misa njemaHahaha shukran ankoo

Asante sana,,na kwako pia ankoo iwe jumatano njema ya majivuNatarajia mud huu baadhi humu mtakua kanisani ,niwatakie Misa njema
MTC | 101|![]()

