Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Eeeewaa...safari ya mlimani hiyokwenye kula kitimoto we mzee
Nitakupa zawadi muzuri sana tukimalizana na hilo swala letu
Eeeewaa...safari ya mlimani hiyokwenye kula kitimoto we mzee
Nitakupa zawadi muzuri sana tukimalizana na hilo swala letu
Hahahaha, mtaa wa Congo na msimbaziSasa si upo Congo we mzee ndio nimekuita bana Congo

kwenye kula kitimoto we mzee
Nitakupa zawadi muzuri sana tukimalizana na hilo swala letu

Unajua hii ya milimani inakumbusha enzi hizo nasoma bible knowledge sekondari..
Kuna mwamuzi mmoja wa wana wa israel alimuomba baba yake aende milimani na marafiki zake...
Sasa tafsiri ya kwenda milimani, yule binti alikuwa ni bikra...! Alipaswa kufa kwa kutolewa zawadi na babae..
Hivyo akasema " nakuomba jambo hili moja, nipatie muda wa miezi 2 niende mlimani na rafiki zangu ili nipate kuomboleza kufariki kwangu kabla ya kuolewa.
Sasa nilipoona stori ya milimani nikajua mnaenda huko kutenda dhambi...
Daaah! Nimekumbuka mbali sana..!![]()






na ww mawazo yako huwa ya kukulana tu
Ndiwoooo watajua hawajuiHahahaha, mtaa wa Congo na msimbazi
MTC | 101|![]()
HahahahaUnajua hii ya milimani inakumbusha enzi hizo nasoma bible knowledge sekondari..
Kuna mwamuzi mmoja wa wana wa israel alimuomba baba yake aende milimani na marafiki zake...
Sasa tafsiri ya kwenda milimani, yule binti alikuwa ni bikra...! Alipaswa kufa kwa kutolewa zawadi na babae..
Hivyo akasema " nakuomba jambo hili moja, nipatie muda wa miezi 2 niende mlimani na rafiki zangu ili nipate kuomboleza kufariki kwangu kabla ya kuolewa.
Sasa nilipoona stori ya milimani nikajua mnaenda huko kutenda dhambi...
Daaah! Nimekumbuka mbali sana..!![]()

Hahahah wewe nibadilishie gear angani ila unaelewa ninachokiongeaHahahaha, kitimoto nakulaga pekee yangu au masela wangu
Zawadi nzuri km ipi ?
MTC | 101|![]()
Kasome kitabu za Waamuzi mlango wa 11 wote utapata hiyo story.na ww mawazo yako huwa ya kukulana tu
Hahahah wewe nibadilishie gear angani ila unaelewa ninachokiongea

Kasome kitabu za Waamuzi mlango wa 11 wote utapata hiyo story.
Wewe ndio unawaza kulana, mimi nawaza dolari mamalai..

Sasa kwa nn ufikilie habari za milimani ni kukulana sisi milima tunayozungumzia sio hiyo yako byeeeeKasome kitabu za Waamuzi mlango wa 11 wote utapata hiyo story.
Wewe ndio unawaza kulana, mimi nawaza dolari mamalai..
Unajua ninachozungumzia mmHahahaha, dah nakuambia kweli Kabisa shangazi
MTC | 101|![]()
We mzee unanichanganya tu acha nijitokee maswali yangu unaruka ruka tuHahahaha, akina nani hao
MTC | 101|![]()
PichaaaaHahahaha, nikumbushe
MTC | 101|![]()
We mzee unanichanganya tu acha nijitokee maswali yangu unaruka ruka tu

Pichaaaa
