Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Niliwamiss tu ndo maana nmewaita
Niliwamiss tu ndo maana nmewaita
Nafasi za jimbo,jimbo lipo wazi,,ngoja nikupatie form ua apply fasta
Haha kapona,si ndio maana anaonekana hapa kwa nadra siku hzHivi yy kapona kurudishiwa yaloota kweli![]()
Na namba ya Sepenga mshampatia?Haha kapona,si ndio maana anaonekana hapa kwa nadra siku hz




Aiseeh!!ankoo anahizi taarifa?Nafasi za jimbo,jimbo lipo wazi,,ngoja nikupatie form ua apply fasta

nambie mama JJ, nipo binamu yako nimetulia mambo matatu matatu jumatatu hii. Vipi wewe
Ankoo hachelewi kuharibu mambo

,,ataleta shwaini zakeHahahah kabsa,,acha awe mjanja mjanja kwa sasa,,atarulia tu,binamu akishachukua mapesa yake
Hahaha kama namuona jirani yangu ABJ atakavyosoma hii comment mara mbilimbili akiirudia....hela nimechukua nusu, nyingine bado si umesikia kwamba kuna masuala ya ubora eti korosho zimewekewa madaraja utasema tumbaku au pamba. Miaka yote tuliuza bila hizi longolongo mjomba.
sasa subiri Pasaa ifike nikutumie zawadi ya sikukuu. Ndugu yako sina hiyana kwenye zawadi
Hivi yy kapona kurudishiwa yaloota kweli![]()
Na namba ya Sepenga mshampatia?
Maana mambo mazuri yako karibu
Nafasi za jimbo,jimbo lipo wazi,,ngoja nikupatie form ua apply fasta
Hahaha kama namuona jirani yangu ABJ atakavyosoma hii comment mara mbilimbili akiirudia
Binamu Pasaka mambo yatakuwa faya hakika
Nko poa nmekumiss mm binamunambie mama JJ, nipo binamu yako nimetulia mambo matatu matatu jumatatu hii. Vipi wewe
Nimeshangaa notification kama 12 jf..hataki kupitwa