Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Hivi we mzee unajua maana ya uboss ladyHahahaha, wewe upo bana kwa upande wangu
MTC | 101|![]()
Sasa mm sifanyi maigizo ndio ninavyoishi we mzeeHahahaha, ma don wengi wanafanya maigizo
MTC | 101|![]()
Nimepitiwa na yule rafiki yangu wa pale wa ubungo sasa hivi ujue anatembelea matako









jingaaa kweliiiii
Nasimamia mwendokasi nasubiria unifanyie surprise hata ya kapasso![]()
Leo 20 tunaelekea masaki![]()
Mh sidhani kama alishawahi osha pale nitamuuliza yeye ana ist ya silverHehehehehehh alafuu kuna siku nipo car wash pale maeneo yetu ya zaman kuna mtu aliniangalia kwa kunifananisha na mm kama nilimfananisha nilitaka nikuulize alafu alikuwa anamaliza kuosha ...kitu kama spacio au raum au ?
Hahahahaahahahhaahh shunie wew ....nimechekaaaaaaaa mpaka machoziiiiiiii
Kwendaaaaaaa hakuna cha suprise wala ninijingaaa kweliiiii





Hahahahahahahahhaha leo si upo na boss mwingineeee ...na sasa hivi hakuna kutaja idadiii ni mwendo wa kukadiriaa




hapa hakuna boss wote tunategemeana nimecheka sana
Bhasiii sio yeye japo rangi ya silver alinipigaa jicho sema na mm niliona sura sio ngeniii au ndo nilipotezaaa mpango wetu wa sasaMh sidhani kama alishawahi osha pale nitamuuliza yeye ana ist ya silver
Hahahaha, mie siamini ,we ni boss lady wa JFSasa mm sifanyi maigizo ndio ninavyoishi we mzee

Mpango wetu wa sasa ni upi huo etiBhasiii sio yeye japo rangi ya silver alinipigaa jicho sema na mm niliona sura sio ngeniii au ndo nilipotezaaa mpango wetu wa sasa






niacheeeeee bwanaaaaaah kwa hiyo tunatoa au tunajumlishaaaa 







Ebu nifanyie bwana kwani sh ngapi mill 5 kitu gani unafanya kama unatoa sadaka tu
HujakoseaaaaaaHahahaha, mie siamini ,we ni boss lady wa JF
MTC | 101|![]()
Yaan kwenye uboss lady unitoe sina hadhi kabisa yaan sifananii unanitukana matusi makubwa sana we mzeeHahahaha, mie siamini ,we ni boss lady wa JF
MTC | 101|![]()
Vizuri sanaaaaa kama hujakumbukaaa na utasahau mengii ila muhim moja usisahauMpango wetu wa sasa ni upi huo eti
hapa hakuna boss wote tunategemeana nimecheka sana
Hahhahahha hivi tutakuwa tunatoa eeenh ebu nifanyie surprise bwnaa nikubebe mie nilipo usalama unatoka wapi sasaniacheeeeee bwanaaaaaah kwa hiyo tunatoa au tunajumlishaaaa
Ulipo kuna usalama au kuna kile ukipendachooo ?
Yaan kwenye uboss lady unitoe sina hadhi kabisa yaan sifananii unanitukana matusi makubwa sana we mzee
