namuona dada ake,,kwanza ukiwa mzembe mzembe vile,,anakuambia na undugu kwisha
Hahahahaha binamu khusu lile swala nmeshaacha bhna,maana mara zote nikiwa na yule binti haachi kukutaja ww,sijui ulimfanyia nn??au zile shanga na cheni ulizomnunulia...Ha ahhahahaha, ndugu yangu wewe ujue, ila sio kwa fitna unazonifanyia, utasema una ujamaa na Mzee Akilimali tajiri wa Yanga
namuona dada ake,,kwanza ukiwa mzembe mzembe vile,,anakuambia na undugu kwisha
narudia ili yarudi katika hali yake ya kawaida
narudia ili yarudi katika hali yake ya kawaida
hana lolote huyo dada ,,atakuwa kamiss lile kiss la kizee la binamu,,,hl lako la kijana bado anaweweseka nalo
Hahahahaha binamu khusu lile swala nmeshaacha bhna,maana mara zote nikiwa na yule binti haachi kukutaja ww,sijui ulimfanyia nn??au zile shanga na cheni ulizomnunulia
Hapo kwa tajiri wa Yanga,Mzee Akilimali ndio umeniweza kabsa binamu hahahah,,anamiliki msikiti yule mzee
Enhe ss yamekaa fresh nami narudishanarudia ili yarudi katika hali yake ya kawaida
Kuielekea Furahiday na mwisho wa mwezi wenye siku 700 kwa mujibu wa marybaby 😀 hebu burudika na reggae maana kuimaliza Jan si mchezo
yaani natamani mwakani uanzie Feb tuone hali itakuaje(aliwazalo mjinga)
Wacha tuburudike kwakweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha binamu khusu lile swala nmeshaacha bhna,maana mara zote nikiwa na yule binti haachi kukutaja ww,sijui ulimfanyia nn??au zile shanga na cheni ulizomnunulia
Hapo kwa tajiri wa Yanga,Mzee Akilimali ndio umeniweza kabsa binamu hahahah,,anamiliki msikiti yule mzee
hana lolote huyo dada ,,atakuwa kamiss lile kiss la kizee la binamu,,,hl lako la kijana bado anaweweseka nalo
...lilimpa hangover ya moyo (tuiite heartover labda) ha hahahaa, uko poa mama JJ