Makapuku Forum

Km unamshobokea kanfate PM
Km vitu huvijui kaa kimya
Siyo much know
Usituharibie mood
................
kwa hiyo unamchukia kwa sababu amekukataa au? Nimefuatili mizozo yote wewe ndiye chanzo kwa kujidai mjuaji kushinda wengine.. Una mamlaka gani ya kuwachagulia watu nini cha kufanya?

Unajiita rais huku huwezi kupambana na changamoto za Chit Chat?
 
kwa hiyo unamchukia kwa sababu amekukataa au? Nimefuatili mizozo yote wewe ndiye chanzo kwa kujidai mjuaji kushinda wengine.. Una mamlaka gani ya kuwachagulia watu nini cha kufanya?

Unajiita rais huku huwezi kupambana na changamoto za Chit Chat?
Leo weekend ndugu,
Achana na mizozo isiyokuwa na msingi
Peace and love
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…