Makapuku Forum

Basi binamu nilijua umelala hapo

...siwezagi kulala kwenye ghorofa, nina kiungalia mwenzenu, nilienda kulala guest moja mtaa wa Uhuru jirani na polisi, nililipa hela nyingi sana, eti kulala tu unatoa 10,000/= nilikasirika sana ikabidi nimtongoze muhudumu (alikuwa mdada) maana hii hela nyingi sana kulala burebure
 
Hahahahahahaha binamu mpo wangapi hapo duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema kweli binamu
 
Hahhahaha sio huwezi kulala ghorofani huwezi kulipa na maubahili yako
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…