badilika na pia uache kujiona kama wewe una uwezo wa kupangia watu wafanye kile unachokitaka wewe..
chuki zako kwa Mbulu & Rubii ni mifano tosha inayodhihirisha kuwa wewe ni mtu usiye na ufahamu wa hii mitandao..
Badilika na ujifunze kupitia kwa wenzako ya namna bora ya kuheshimu mawazo ya wenzako..