Makapuku Forum

Mimi ni Dadake ndio. Ila sina hakika kama alikuwa anakusimulia kuhusu mimi.


Habari ni nzuri tu binamu. Nimefurahi kukufahamu binamu.
Ah! Kumbe wewe ni dadake binamu Shunie?! Au ndo yule ambae kila siku binamu yangu alikuwa ananisimulia? Sasa kama huyu binamu ni dada yako, basi nawe ni binamu yangu!

Habari binamu!!!!
Khaaaaaa
 
Wazima humu ? Nasikia kuna keki ya kuzaliwa mutu humu ,naomba utaratibu wa kujongea eneo la tukio ,kula keki, pia nina dumu la maji Lita 5, si huwa mnamwagiana maji siku km ya Leo ?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…