Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unalaliajee kifuaa cha anko na upate mda wa kutetea teuziiii za manga wakati huu na majibuu mnyoookooo kwa mzee wetuu...napingaaaaa
Hahaha sasa umeuliza umejibiwa unasema sio kweli basi amini ukweli wako ulionao
 
Hahaha hawaniwez wale,,niko vzr mjomba mara zote kwan mkizima nani huwa anawakingia kifua mjomba??au unataka kusahau kuwa mm ndio huwa kila kitu
Ila kwa mgangaa ndo uwanjaa wetuu ...huko pengine unatusaidiaa sana
 
Vijana Wangu napenda kuwaaaga Rasmi ,ngoja sasa nikae vikao vya viti virefu kwa u serious Kabisa ,naona ugimbi unapita kwa kuchat

Ahsante sana kwa siku ya Leo,week end imekua nzuri ,kuanzia ktk mpira hadi humu jukwaani

Huku porini kwetu ni SAA 21:54 ila Giza totoro

Mungu awabariki sana
 
Ila jamani tuwe siliasiii mzee wa korosho binamu wangu kivurugee Obe yuko wapiiii
Nipo anko. Nilipatwa na majanga ya kidunia ila sasa nimerudi.
Naona harakati zinaendelea. Vipi marybaby hajamimiss kweli? Nimemmiss hadi nikahisi kutaka kujikopa korosho zisizobanguliwa
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom