Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nimecheka sana unammaliza huyo mzee ujue anafikilia kweli
au nimekoseaaa ?
au nimekoseaaa ?
Rafiki ungejifanya kujikuna useme ndiyo ili mimi nitupie nyingine!![]()
Kwendaaaaaaaaa hukoooooohalafu wala
Hahaa huyu mzee kaamua kuuliza ninachokupendea kitu huelewi unauliza
Nimecheka sana unammaliza huyo mzee ujue anafikilia kweli
Ahaa kuumbe sisi watazamaji huo mwezi wakao tuta usapotia wapi sasa?Kwani nitakunywa kwa siku moja sasa huu ni mwezi wangu unaisha mwakani ukooo
Kwendaaaaaaaaa hukoooooo
Hahahaha
Si wanasema 'kuuliza si ujinga?'
Kwaniii akifiliaa kwelii kuna ubaya ...si unakwendaaa kwani ?
Kweli bwana
Kwaniii akifiliaa kwelii kuna ubaya ...si unakwendaaa kwani ?
Hahahaha, vijana huwa mnanifurahisha Sana humuNimecheka sana unammaliza huyo mzee ujue anafikilia kweli
Single ndo wap binamuBinamu watu ni wabaya sana,kuna siku king mswati alinisaksia kwako eti uko single!!![]()

hakuna bwana
Kupendwaaaa rahaaaa
TayaaaaaaaaariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiIt's Dec beibeeeeeee
#teamdecember#
Naanza kupokea zawadi bado mapema jamaniiii View attachment 969750