Maisha yetu ni kama mti wa matunda. Kuna wakati unapukutisha majani, kuna wakati unakuwa na maua, wakati mwingine unakuwa na matunda mengi yenye kuvutia, wakati mwingine matunda yanaisha kabisa. Usijichukie uwapo kati ya kipindi kimojawapo. Usihukumu maisha yako kwasababu ya kosa moja! Au kwasababu ya magumu ya wakati mmoja, vumilia kipindi cha matunda kinakuja.