Makapuku Forum

Papa Francis amewashusha vyeo makadinali 2 wanaokabiliwa na tuhuma za dhuluma za kimapenzi dhidi yao.
Kadinali George Pell kutoka Australia na kadinali Francisco Javier Errazuriz wa Chile hawataendelea kuhudumu kwenye baraza la makadinali linalomshauri papa Francis.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…