Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Hahahaha ngoja nikae kmya dada ake![]()
![]()
![]()
![]()
unachokitafuta hapo utakipata
Hahahaha ngoja nikae kmya dada ake![]()
![]()
![]()
![]()
unachokitafuta hapo utakipata
Hahaha kwenye familia lazma kuwepo na mtt wa namna yangu,,,
..nami nakusalimia binamu, ulirudi salama naamini, maana lile toto la kimanga ulilipania sanaBinamu nakusalimia
Sasa hivi nina mpango wa kumuuza Shangazi bei chee!Hahaha kwenye familia lazma kuwepo na mtt wa namna yangu,,,
Wewe ni mkaidi sana,,pambana na hali yako



Hahahaha binamu hata ww??fitina hzo na mjomba naziona wallah..nami nakusalimia binamu, ulirudi salama naamini, maana lile toto la kimanga ulilipania sana
Aliyekuambia shangazi yetu anauzwa nani??Sasa hivi nina mpango wa kumuuza Shangazi bei chee!![]()


Mtoto mzuri ABJ endelea kupiga kazi Mama!Wewe unatakaa kuniharibiaaa kote alafuuuu unibwageeeee nshakushtukiaaaa



Nawe pia, nikutakie week end njema
Napia nawatakia Kapukus wote week end njema

Hatujambo uhali ganiNawasalimu makapuku wenzangu
Nawasalimu makapuku wenzangu
Tukoo hapaa
Hatujambo uhali gani
Mzee wa chura ndo anawindaaHahahaha sawa mkuu naona uko kwenye mawindo