Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 464,001
Hahaha ebu akuje ajibuKama ni yeye mmh yupo vizuri. Mfikishie salamu zangu
Hahaha ebu akuje ajibuKama ni yeye mmh yupo vizuri. Mfikishie salamu zangu
Ukijibiwa uniite unarithiwa kabla haujafaKwan na ww ni jiwe![]()
![]()
![]()
Wa naniiiiMsaidiziiii
Sihitaji msaidizi mmUkiwepooo sipo usipokuwepoo nipo




Hutakagi kabisa kujitesa kufa na tai shingoni ila avatar za jf hizi mwenza acha tu hivi unajua yule jamaa yulee wa kipindi kile yuleee wa kawaida mnooo nilionyeshwaga picha yake nikasema mwenza hapa angemuona sijui ingekuwaje
Anaweza akawa wa kawaida lkn Ana swaga matata.Hutakagi kabisa kujitesa kufa na tai shingoni ila avatar za jf hizi mwenza acha tu hivi unajua yule jamaa yulee wa kipindi kile yuleee wa kawaida mnooo nilionyeshwaga picha yake nikasema mwenza hapa angemuona sijui ingekuwaje



Hahaha kwema mjomba??Mjombaaa mjombaaaa nakusalimiaaaaaaa
Salama dada angu,,Heshima yko kaka angu
Mimi sina msaidizi jamani labda kama amejiteua mwenyewe
Aisee,,pole sana shangaziMm mzima sana baba wawili weekend hii nipo seblen nimejilaza chini na giza langu toka asubuhi hakuna umeme
Itakuwa alijiteuwa mwenyew hahahMimi sina msaidizi jamani labda kama amejiteua mwenyewe
Vipiiii tena jamaniii wanatusemaga hawa na sura zetu za baba zetu kumbe wametupita mara mbili
Mh swagger gani woiiii nikajiuliza wanamgombaniaga nn watu labda anaweza kuwa na hizo swagger kwanza kaben10Anaweza akawa wa kawaida lkn Ana swaga matata.![]()
![]()
Sasa mm sihitaji msaidizi hiki cheo changu hakinaga msaidiziNilijiteuaaa jiwe
Asante baba wawili ndio umerudi sasa hivuAisee,,pole sana shangazi
Sasa natengua uteuzi wakeItakuwa alijiteuwa mwenyew hahah
Ha haaaaa. Ngoja niache kuvutiwa na avatar jamani.Mh swagger gani woiiii nikajiuliza wanamgombaniaga nn watu labda anaweza kuwa na hizo swagger kwanza kaben10
Mh swagger gani woiiii nikajiuliza wanamgombaniaga nn watu labda anaweza kuwa na hizo swagger kwanza kaben10

Hahhahhaa mwenza endelea tu kuvutiwa na avatar mm kwa upande wangu nimemuona wa kawaida sanaaa woiiiHa haaaaa. Ngoja niache kuvutiwa na avatar jamani.