OK...Unajua mwalimu hata kwenye hiace akiona mtu kakosea kuongea kiswahili sahihi hawezi vumilia lazima atakurekebisha tu...Kati ya Profesional zake mingi alizo nazo Ualimu ni moja wapo Shemeji..
Makapuku tunahujumiwa sana thread imekaa week mbili MMU nashangaa muda huu imeletwa chit chat
...............................................
Mods vibaraka wa wakongwe
............................................
OK...Unajua mwalimu hata kwenye hiace akiona mtu kakosea kuongea kiswahili sahihi hawezi vumilia lazima atakurekebisha tu...Kati ya Profesional zake mingi alizo nazo Ualimu ni moja wapo Shemeji..
Hajakwambia utoke lakini amekushauri kuwa ni busara kwako kutochangia kila kitu hasa ambayo hujaelewa, hata mimi sichangii kila kitu, mengine najifanya sioni, japo naona.
Hapo juu ameulizwa mtu mwingine nawe ukarudia swali hilohilo kwa muulizaji. Elewa tu kwa nia njema