...acha tu ndugu yangu, nimefanyiwa fitina na watu wangu wa karibu kabisa, wale ninaowategemea ndo wamekuwa maadui zangu, kweli mchawi ndugu, sasa nipo tu mpweke na mama yenu mkubwa
....alinifukia na sasa ananichimba, mwanzoni nilipoona naomba hela nikapewa ya twisheni niwe nakuambia maneno matamu matamu ya kiinglishi, machale yakaanza kunicheza. Inakuwaje mtu anakupa hela huku anatabasamu