...anko hii kampeni ninayopigwa kweli umekaa kimya hata kunitetea ndugu yako hakuna? Watu wamechafua sana jina langu yaani ina maana humu ndani hata ndugu zangu hamnitaki? Nitamtegemea nani sasa kunitetea kama sio wewe na aunt yangu? ningendako kanitosa mchana kabisa, Shunie ndo kawa wa kwanza kunifanyia fitna
Kuwa leo katekwa na lijimamaUlituambia nini mkuu?
Kasema mwenyeweee
Mkuu una taarifa kuwa yamefanyika mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri na wewe ni mhanga mkubwa sana kwenye mabadiliko hayo?
Abj kashapaa na hearly sijuiiiNimeona hayo mabadiliko na niliyategemea sana, maana tangu nitangaze kuuza korosho basi imekuwa tabu kwa watu wa karibu yangu. Kifupi, ninachonganishwa sana.
Nitatoa tamko, nitaita waandishi wa habari wiki hii nitoe msimamo, ninaweza kurudisha kadi ya chama nikarudi chama changu kilichonilea, kifupi, nitaunga mkono juhudi
ila leo mbona kama anamuhitaji sana marrybaby kuliko hata siku nyingine??!Kasema mwenyeweee
Nimeona hayo mabadiliko na niliyategemea sana, maana tangu nitangaze kuuza korosho basi imekuwa tabu kwa watu wa karibu yangu. Kifupi, ninachonganishwa sana.
Nitatoa tamko, nitaita waandishi wa habari wiki hii nitoe msimamo, ninaweza kurudisha kadi ya chama nikarudi chama changu kilichonilea, kifupi, nitaunga mkono juhudi
Polee ila pambana....
Abj kaja hanitakii tena kisa umetoka naye honeymoon ...nikasema ni binamu wangu bahati nzur penz lake likatua mikononi mwa anko wangu mm hapa ...
Na atakaejaribu kukwamisha kazi za wizara atashughulikiwa mara moja!Tunahitajianaaa ....baraza lishapitishwaa na kazi zimeanza mara moja
...aisee, hivi namba ya yule mganga wa instagram bado unayo? Naona dalili za kumshusha mtu kibusha (na sitajali kama ni ke au me, kibusha hakichagui)
Bahati mbaya mfanya teusi kashakuwa mwingine kwa sasaNa atakaejaribu kukwamisha kazi za wizara atashughulikiwa mara moja!
Mfanya teuzi ni shangazi!Bahati mbaya mfanya teusi kashakuwa mwingine kwa sasa
Tunahitajianaaa ....baraza lishapitishwaa na kazi zimeanza mara moja
...wewe ndo nakuona ni ndugu yangu wa kweli! Umeongea kitu cha ukweli sana, ila wengine watakipuuzia