Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Kama mm na yeye tu wamojaa mboma makopa unaninyimaa ...chura anafaidii yeye na @behaviorist


Asante pole naweMzima dada? Pole sana kwa majukumu
Wewe nawe! Chura yupi nafaidi sasa??Tokea lini chura wa rafiki yangu akawa wangu??!Kama mm na yeye tu wamojaa mboma makopa unaninyimaa ...chura anafaidii yeye na @behaviorist
Asante japo nina njaaAsante pole nawe
Nimemkumbitia hapa tight kbs,sjui ndo sababu navuruga habari jukwaaniKweli una usingizi, mzee baba hajaja![]()
Nimemkumbitia hapa tight kbs,sjui ndo sababu navuruga habari jukwaani
na typing errors nyingi
Naomba muwe na amani ya bwana
Hujala?Asante japo nina njaa
Ankoo taratibuu bhasiii...ila si wanasema mtoto wa rafiki yako ni mwanao manake mke wa rafik yako ni mchepuko wakoo ...same applies to churaaWewe nawe! Chura yupi nafaidi sasa??Tokea lini chura wa rafiki yangu akawa wangu??!
Bado aise, hujabakisha nijeHujala?
Wewe inabidi nikakuongezee chura mwingine rafiki!Pole,
Maumivu yakizidi muone daktari rafiki![]()
Hajatosheka tuuWewe inabidi nikakuongezee chura mwingine rafiki!
Hahaha..kwamba chura wa rafiki yako ni wako eenh.?Ankoo taratibuu bhasiii...ila si wanasema mtoto wa rafiki yako ni mwanao manake mke wa rafik yako ni mchepuko wakoo ...same applies to churaa
Wewe inabidi nikakuongezee chura mwingine rafiki!


kwa kunikomoa au.?