Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nimezifikishaa salamu unasalimiwaaYuko wapi mkuu? Ameshajua kuwa tumerudi kutoka China jana na mambo ni moto?![]()
Nimezifikishaa salamu unasalimiwaaYuko wapi mkuu? Ameshajua kuwa tumerudi kutoka China jana na mambo ni moto?![]()
Kipiiii kikuchekechechachoooooo
Yy nn?Sio churaa yeye
Mijamaaaa mijingaa kweliiii ila ngoja watamkutaa baba mkubwa make aliwaonyaa ...kama hawajaendaa kubangua korosho
watalipa kwa namna nyingineLeo nalinda jukwaa mkuu!.....nina nguvu mpya baada ya kurudi China!!

MfyuuuuuTumochaaaa yukoo wapiii
Akuuuu mie nimejtoshelezaNae anahitaji nimpeleke China mkuu?![]()
Pole sanaDaaah Jana Amunike kasababisha nilale mapema sana
Shikamoo binamu..nilikuwa Lesotho anko, sijatekwa na wala yule hakuwa mke wa mtu, alikuwa tayari katalikiwa ila kocha wa Starz pumbavu sana, nisingefumaniwa kama tungeshinda japo matatu.
Mzima lakini
Binamu Obe njoo uthibitishe mm huwa simuamini huyu mtu
Akuuuu mie nimejtosheleza
Tumosa nin tena mikono kichwani?