...na mimi anko kipenzi nimekuona na asante sana kwa ushauri wako, nimeuzingatia sana, Hii busara uliyonipa hadi nashangaa inakuwaje huwa unafumaniwa sasa au ndo mganga hajigangi
...aisee, kumbe walokole ni walevi hivi, wanakunywa novida wanalewa halafu hatuambiani!!! Hii sio haki kabisa, hebu nielekeze hilo kanisa niende fasa, na kama kuna mkesha na wanakwaya wapo
...sijalipwa bado anko, wanatuhakiki kwanza, kuna wakulima feki na hawana vyeti kwa hiyo wanatafutwa wapunguzwe, sisi tuliofaulu hatuna shida ila ndo wanatuchelewesha
...na mimi anko kipenzi nimekuona na asante sana kwa ushauri wako, nimeuzingatia sana, Hii busara uliyonipa hadi nashangaa inakuwaje huwa unafumaniwa sasa au ndo mganga hajigangi