Makapuku Forum

Wewe unataka kunikoseshaa bia za mjomba nake jana nasikia kalipwa korosho ila hapatikanii

...sijalipwa bado anko, wanatuhakiki kwanza, kuna wakulima feki na hawana vyeti kwa hiyo wanatafutwa wapunguzwe, sisi tuliofaulu hatuna shida ila ndo wanatuchelewesha
 
...na mimi anko kipenzi nimekuona na asante sana kwa ushauri wako, nimeuzingatia sana, Hii busara uliyonipa hadi nashangaa inakuwaje huwa unafumaniwa sasa au ndo mganga hajigangi
Leo siku ganiii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…