Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
...kwa ajili yako pekee na ujue nini, usisikilize kabisa maneno ya wabaya wangu. Burudika and happy almost furahiday
Mnatumia nguvu nyingi sn mwenyewe hana habari
...hapa kwenye un'eng'e wa kulaumiwa ni anko wangu kwa kweli, unajua yeye umri wetu haujatofautiana sana, ila ndo alikuwa anaaminika na ukoo anapewa hela yangu ya ada anaenda kuhonga



lawama zote zimuendee aisee,,leo hii hl tatzo wala lisingekuwepo,ila usijar binamu tutalimaza wala usijar,,ras simba yupo kwa kazi hyo...habari ninayo, hapa nimepewa dikishoanri kubwa balaa, nimeanza kuongea hawayuu sijui ilavyuu na mengine mengi. Hawa ndugu zangu ningendako na Tumosa sijajua mpango wao kwangu, yaani najiona nimeanza kukonda kwa kuongea kiinglishi




binamu vp tena??Hilo hilo
Naomba binamu akuwekee wimbo wa mke mwenza wa MARIJAN RAJAB dedication kwako
Obe njoo uliwekee hili song
Safari imekufa hakuna China wala korosho turudi tukadai nauli zatu ss![]()
Wikiendi imeanza vibaya sn,tumaini linapotea ijumaa usk.?![]()
![]()
lawama zote zimuendee aisee,,leo hii hl tatzo wala lisingekuwepo,ila usijar binamu tutalimaza wala usijar,,ras simba yupo kwa kazi hyo
binamu vp tena??
Tumosa unaona sasa,,tunamsaidia binamu ameanza kutulaumu tena et tunamkondesha maneno kama ailavyuu,hawayuu yamekuwa shida kwake
Amkia bc leo J5
Wewe unajisahulishaa ?
Alafu unavyonijaza we Mungu anakuona....ndo maana nakupenda yaani hii safari ilikuwa inanikondesha na kunipa ngiri kwenye kiangazi