Hiyo kahawa ya vichochoroni mwambie aende hotel za nyota 5Eeenh
Kwahiyo kahawa ilikuwa haishuki
We mzee ebu acha wizi
Mzee wa chura sijui wameishia vipi jamaniMzee wa chura vp![]()
Huh ukoo kiboko jamani
Ukoo mmoja huu
Walisema Noah na hatujapata hizo kg 2 zangu wakupe wewe halafu we mzee nilikwambia upambane na hali yako....wewe ni ndugu yangu lakini unavyoniharibia hadi naogopa.
Rais kasema kila mtu atapata kilo mbili, zangu nakupa wewe unafikisha kilo nne endelea kumshawishi huyu mrembo, Mama yenu kanambia anataka msaidizi
HahahahahKiss na kumbatio mubashara
Ila we mzee usikute nje ya jf huna hata mia maisha yako ya kuunga tuHiyo kahawa ya vichochoroni mwambie aende hotel za nyota 5
Ila we mzee usikute nje ya jf huna hata mia maisha yako ya kuunga tu
Walisema Noah na hatujapata hizo kg 2 zangu wakupe wewe halafu we mzee nilikwambia upambane na hali yako
Nangoja nauli toka mtwaraHaahahaha nenda kwa shigongo ukaomba contact zake

BAOEbu niambie linavyosema
Nakusalimia.Hahaha atamfundisha na vile vimsemo vyake
Ili mtengeneze Tim na marefa kbsmwendo wa mapacha tu
Sana tilia mkazo hapoMary hatakiii binamu mbahili
Tatizo chura hamna.!Mzee wa chura vp![]()
....wewe ni ndugu yangu lakini unavyoniharibia hadi naogopa.
Rais kasema kila mtu atapata kilo mbili, zangu nakupa wewe unafikisha kilo nne endelea kumshawishi huyu mrembo, Mama yenu kanambia anataka msaidizi

msaidizi tena.,?Tatizo umekaza sn hata hiyo subra itavuta ganja ss sio kheri....Mary hamtaki, bado ananipima, kanipa muda muwe na subra. Jiandae kula madikodiko
