Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi beer za shunie mlikubaliana man ikipigwa ndio unampa beer?

Manake naona man city wanatubamiza tuu
Man u akifunga au draw ...anazikosaaa nachekaaa kibishooo
Man u si kafunga ?

So mpe beer zake
Mtag ajee achukue bia zake 6 plus 3 jumla 9
Shunie njoo chukua beer zako mama.

Beer 9 jumla
Namngojaaaa
Niko hapa jamani Lyon ebu nitumie niende kiduka cha mango nitakutumia picha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom