Asante dadakePole kwa kupotea jamani
Vipi wew unajua kupika biriani.Alikuwa anamtafutia sababu tuView attachment 920404
Najua mmVipi wew unajua kupika biriani.
Ndiwooooo nitafanyaje sasa jamani
Eti jamani![]()
![]()
![]()
![]()
mweee pilau imemponza
Mlikuwa mnasogoa wapNajua mm
Huku ndio tutaweza kusogola weeehh kule kwenye story tungefukuzwa ungesikia ndendeni mmu uko au chit chat tunajua story mpya kumbe watu mnapiga story tu

Hhhhh nikaona bora nitoke baada ya kuniambia.Najua mm
Huku ndio tutaweza kusogola weeehh kule kwenye story tungefukuzwa ungesikia ndendeni mmu uko au chit chat tunajua story mpya kumbe watu mnapiga story tu
Kwenye uzi wa story ya darful mana wananifukuzaga mpaka mwenye story mwenyeweMlikuwa mnasogoa wap![]()
![]()
![]()
Hahhaha kule wananifukuza mpaka mwenye story mwenyewe utasikia shunie ondoka na watu wakoHhhhh nikaona bora nitoke baada ya kuniambia.
Nimemiss biriani fanya kunialika nije kutia sunna.