Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Katabia kake kabovuu ka kuomba namba kaa nae kwa makini huyo msumbufuu sijawahi kuona ...akija pm mwambie awasiliane na mimi kwanzaNamba ya nini Anko.?
Katabia kake kabovuu ka kuomba namba kaa nae kwa makini huyo msumbufuu sijawahi kuona ...akija pm mwambie awasiliane na mimi kwanzaNamba ya nini Anko.?
Nini tatizo la kugombana na anko@obe anko mkubwa lakin mtagombana
Na huyu umekaba nafasi?Hi m baby ....
Huyu mwongo mbona hajanitafuta nipo hapa sido jirani kabisa na mwakimomo storeNenda soweto utapata
Wivu huna ila roho inaumaKatabia kake kabovuu ka kuomba namba kaa nae kwa makini huyo msumbufuu sijawahi kuona ...akija pm mwambie awasiliane na mimi kwanza
Nini tatizo la kugombana na anko
Mzima lakini
Na huyu umekaba nafasi?
Aaaaah mkuu unamchukia anko ya kweli haya si mlikuwa wote juzi masasi kwenye korosho ugomvi umeanza liniAnko ndo maana simpendii..Tuombe inshalaah

Anakuharibia kivipi wakati wewe unasema amezima simu basi atakuwa kabadili nambaHuyu anko mtu mbaya nilikuwa sijagundua yaan kashinda biko kazima simu alafu ananiharibia
Wivu huna ila roho inauma
Kama ulikuwepooAnakuharibia kivipi wakati wewe unasema amezima simu basi atakuwa kabadili namba
Miaka yenu hiyo wakati Mimi niko nasoma masomo ya juu zaidiUmenikumbushaa wazee wa ngwasuma
Mi alinipigia na namba ngeni akasema wewe umumdhurumu mzigo wa korosho eti ulimwambia mzigo ulizidi mizani pale manazi mmoja ukaucha ila alivyo futilia akaukuta mzigo haupo ndio akaamua abadili nambaKama ulikuwepoo

Miaka yenu hiyo wakati Mimi niko nasoma masomo ya juu zaidi
Mi alinipigia na namba ngeni akasema wewe umumdhurumu mzigo wa korosho eti ulimwambia mzigo ulizidi mizani pale manazi mmoja ukaucha ila alivyo futilia akaukuta mzigo haupo ndio akaamua abadili namba
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nzur kabisaaa jirani za wwMama wenger...
Habari za siku
Yaani ndio umekuja kujibu leo?Nzur kabisaaa jirani za ww