Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Heshima yko malcomHaaaaaaaaah,
Mimi nyoka wa kibisa bwana sina madhara kabisa kwa hawa mtu. Saa hizi nalea tu.
Heshima yko malcomHaaaaaaaaah,
Mimi nyoka wa kibisa bwana sina madhara kabisa kwa hawa mtu. Saa hizi nalea tu.
Hana cha kutekwa wala nini... we unafikiri Peruvian Hair mchezo!! Hoyaa Wick, laki 4 ushatoa au nitoe mwenyewe na tusitishe kabisa mkataba wenu?! Mwenzako kaamua eti aanze kutafuta sixi paksi utadhani hizo sixi paksi zinaliwa! Jomba Malcom Lumumba, 6 pcs worked better during JK era cuz' dadaz got lots of money making options lakini kwa huyu Msukuma, hizo 6 pcs peleka Colosseum zikasaidie kulinda akina Mo wetu!
huyo si aliahidi masai braidsKumbe dawa ni ndogo hivi binamu!! Dah, afadhali manake hapa nilipo ni full msono wa mawazo, kinga za mwili zimepiga mbonji... sasa vipi binamu, tukutane basi weekend ili nipate hii tiba yenye baraka za Mola!

Hujambo bibieSawa mama ukiwahi niwekee nafasimaryam ndo la ubatzo kbs.
Marahaba binamu yangu, hujambo enh mtoto mzuri kuliko wote JF! Hebu msalimie shangazi, mwambia naja weekeend
KheeeeeHivi binamu niliwahi kukuambia kwamba huwa unacheka vizuri ile mbaya!!!
NI matumaini hizo sixi paksi zako unazotafuta hazina nia ovu kwa binamu zangu Tumosa na Shunie manake nawajua nyie vijana wa Dar! Badala ya kutafuta pesa ili muhonge pesa, mnataka kuhonga kwa sixi paksi... kwani sixi paksi zinaliwa? Eti binamu zangu?!
Ila dah, hao "wazalendo" wanakuwaga na hasira ile mbaya....
Six packs nzuri ukikumbatiwa unaingia mazima kwenye kifua ankole shikamooHaaaaaaaaah,
Mimi nyoka wa kibisa bwana sina madhara kabisa kwa hawa mtu. Saa hizi nalea tu.
Kwahiyo Peruvian ndio zimemkimbiza eenhHana cha kutekwa wala nini... we unafikiri Peruvian Hair mchezo!! Hoyaa Wick, laki 4 ushatoa au nitoe mwenyewe na tusitishe kabisa mkataba wenu?! Mwenzako kaamua eti aanze kutafuta sixi paksi utadhani hizo sixi paksi zinaliwa! Jomba Malcom Lumumba, 6 pcs worked better during JK era cuz' dadaz got lots of money making options lakini kwa huyu Msukuma, hizo 6 pcs peleka Colosseum zikasaidie kulinda akina Mo wetu!
HahhahahahaKumbe dawa ni ndogo hivi binamu!! Dah, afadhali manake hapa nilipo ni full msongo wa mawazo, kinga za mwili zimepiga mbonji... sasa vipi binamu, tukutane basi weekend ili nipate hii tiba yenye baraka za Mola!
Hahahahha wamesikia kaka chigeUfafanuzi mujarabu kabisa binamu yangu, mwenye shaka na ukaka wetu na aende kwa Makonda, Mlinzi wa Maadili Dar es salaam!
Basi we wajina wangu kabisaSawa mama ukiwahi niwekee nafasimaryam ndo la ubatzo kbs.