Makapuku Forum

Makapuku Forum

wakati mfumo uendeshaji wa Android unazinduliwa kwa mara ya kwanza 2008, kampuni ya Apple, Microsoft, na Nokia waliudhihaki na kuzani usingefika mbali.

Mfumo uendeshaji wa Android leo hii ndiyo unaongoza kwenye soko la mifumo uendeshaji ya simu za mkononi huku mfumo uendeshaji wa IOS unaomilikiwa na Apple ukishika nafasi ya pili kwenye soko, Mifumo uendeshaji ya Microsoft na Nokia imeshindwa sokoni ikiwa pamoja na simu zao.
Screenshot_20181101-193500.jpeg
 
Baada ya Steve Jobs kushindwa kuishawishi bodi ya wakurugenzi kwanini kitambulisho chake kiandikwe mfanyakazi namba 1 na wala sio cha Steve Wozniak ambaye alikuwa muanzilishi mwenzake wa Apple, Steve Jobs aliweka mgomo mpaka pale alipopewa kitambulisho cha kilichoanzia na namba 0 kwa sababu 0 inaanza kabla ya 1 na Steve alikuwa anataka awe juu siku zote
Screenshot_20181101-193634.jpeg
 
Utafiti wa kisayansi uliofanywa nchini Australia unaonesha umri wako unaweza changia katika kuelezea kama umeona msichana au bibi kwenye hii picha.

Tazama hii picha kwa makini kisha tuambie kama umemwona msichana au bibi. Yoyote utakayekuwa umemwona basi umri wako ndiyo utakuwa umechangia.

Watu wenye umri kuanzia miaka 18 - 30 walimuona msichana kwenye hii picha wakati wale wenye umri kuanzia miaka 30 - 60 walimuona mzee.
Screenshot_20181101-193834.jpeg
 
Idadi ya galaksi ulimwenguni ni kubwa sana kiasi cha kwamba kila mtu hapa Duniani angemiliki galaksi 200.

Mpaka sasa darubini ya Hubble Ultra Deep Field imeshagundua zaidi ya galaksi bilioni 100 ambapo kila galaksi imebeba zaidi ya nyota bilioni 100 na kila nyota inazungukwa na sayari zisizozidi 10, ukiachilia mbali galaksi trilioni 2 zinazofahamika.

katika idadi hiyo kila mtu atapewa galaksi 200 na bado zitabaki galaksi nyingine nyingi tu.
Screenshot_20181101-194130.jpeg
 
Lakini mimi na wewe hatufanyiani roho mbaya bhana labda yule jamaa aliyeadimika mtaa huu kwa sababu yupo busy kujadili mambo ya pembe za ndovu!

Yaani mtu aache kupiga sounds na totoz kama akina Tumosa, akaushe kende kwa ajili ya kujadili pembe za ndovu! We Malcom Lumumba, pembe za ndovu zina wenyewe hizoo...
Hahahahahaha,
Kule nimeacha bwanaa. Wazalendo wananitukana kila siku. Pembe za ndovu naziacha naenda Gym kutengeneza sixi paksi tu......
 
Lakini mimi na wewe hatufanyiani roho mbaya bhana labda yule jamaa aliyeadimika mtaa huu kwa sababu yupo busy kujadili mambo ya pembe za ndovu!

Yaani mtu aache kupiga sounds na totoz kama akina Tumosa, akaushe kende kwa ajili ya kujadili pembe za ndovu! We Malcom Lumumba, pembe za ndovu zina wenyewe hizoo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom