Makapuku Forum

Bilionea huyo wa Kijapani mwenye utajiri unaofikia dola bilioni 2.9 (Forbes) amesema katika safari yake hiyo itakayosimamiwa na Space X ataongozana na watu sita ikiwamo mpiga picha, muongozaji filamu, mwanamuziki, mwanamitindo, na mhandisi wa majengo.
 
Reactions: Obe
Bilionea huyo wa miaka 42 kutoka nchini Japani, ambaye ni mmiliki wa mtandao maarufu wa nguo Zozotown, atakuwa mteja wa kwanza wa kampuni ya safari za nje Space X inayomilikiwa na Bilionea Elon Musk
 
Joto hilo kubwa zaidi lilitengenezwa kwenye maabara za CERN wakati wanasayansi walipokuwa wakitaka kufahamu aina mpya ya matter inayoitwa QCP pia kufahamu muingiliano wa Protons, Neutrons na Nucleons.
 
Kama Donald Trump akikubali basi hiyo ndege yake mpya itaitwa 'iPlane' ila kitu asichofahamu msanii Kanye West kampuni ya Apple hawatengenezi ndege.

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…