Makapuku Forum

Makapuku Forum

.
Screenshot_20181024-195105.jpeg
 
“Maafisa wa usalama wa Saudia walifanya kazi duni mno katika harakati zao za kuuminya ukweli wa kilichompata mwandishi Jamal Khashoggi katika ubalozi wa Saudi Arabia jijini Instabul Uturuki ” rais Donald Trump wa Marekani.
Screenshot_20181024-201411.jpeg
 
Hofu imetanda upya nchini Uganda baada ya orodha ya majina 16 ya viongozi wa kidini kisiasa na kijamii akiwemo mbunge wa Kyadondo East, Robert Kyagulanyi aka Bobi Wine wanaopangiwa kuuawa.

Msemaji wa polisi Emilian Kayima amesema wanachukua tahadhari huku uchunguzi ukiendelea.

Awali viongozi kadha waliokuwa kwenye orodha kama hii waliuawa.
Screenshot_20181024-201602.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom