Makapuku Forum

Makapuku Forum

6.Tumia Karanga Mbichi Kiasi .



Karanga pia huondoa kiungulia na maumivu ya tumbo lenye gesi, kama ukitumia kwa kiasi . pamoja na kuwa maji husafisha acid tumboni , lakini pia karanga zinanyonya acid, zinaondoa matatizo ya tumbo. Au unaweza ukatumia Soda crackers ambayo inachanganywa na maji. hii nayo inanynya acid tumboni. kwa sababu inafanya kazi kama antacid.

Lakini pia kama una sodium kidogo inakubidi uepuke hii mbinu na umwone dactari kwa ushauri.



Mbinu hizi ni rahisi na ni nzuri , na unaweza kutumia maisha yako yote. kwa kuongezea kufuata mbinu hizi ,Fanya kujaribu kuwa na afya bora na mtindo mzuri wa maisha ili kuondokana kabisa na matatizo ya tumbo.Na usisahau kushare hizi mbinu za afya na marafiki zako!

“I don’t want to be sick anymore. I’ll eat healthier.”
 
6.Tumia Karanga Mbichi Kiasi .



Karanga pia huondoa kiungulia na maumivu ya tumbo lenye gesi, kama ukitumia kwa kiasi . pamoja na kuwa maji husafisha acid tumboni , lakini pia karanga zinanyonya acid, zinaondoa matatizo ya tumbo. Au unaweza ukatumia Soda crackers ambayo inachanganywa na maji. hii nayo inanynya acid tumboni. kwa sababu inafanya kazi kama antacid.

Lakini pia kama una sodium kidogo inakubidi uepuke hii mbinu na umwone dactari kwa ushauri.



Mbinu hizi ni rahisi na ni nzuri , na unaweza kutumia maisha yako yote. kwa kuongezea kufuata mbinu hizi ,Fanya kujaribu kuwa na afya bora na mtindo mzuri wa maisha ili kuondokana kabisa na matatizo ya tumbo.Na usisahau kushare hizi mbinu za afya na marafiki zako!

“I don’t want to be sick anymore. I’ll eat healthier.”
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] barikiwa Numby
 
Kama wewe ni mmoja wa wale wengi wanaopenda kutafuna tafuna vitafunio wakati wa usiku baada ya kula chakula cha kawaida, ni vizuri tu uanze kuepuka huo mtindo wako sio mzuri.

Usiogope kwa kupata njaa usiku , kwa sababu vitu hivyo vinaongeza uzito mwingi mwilini mwako.



Na wengi huingiza matatizo ya kushindwa kupunguza uzito wanapokula wakati wanakaribia kulala. Hasa vyakula ambavyo unaweza ukazidisha kuvila mara nyingi ni kama , ice cream , juice, mkate, keki, biskuti, crips na vingine vya aina hio.

Kama unashindwa kuacha hio tabia ya kula vitu vidogo vidogo usiku , unajua jinsi uamuzi unavyokuwa mgumu, kwa nini upate shida hio baada ya kula chakula cha kutosha cha usiku ? Na utawezaje kuacha hio tabia?
 
Kwa nini nakula vitafunio usiku?



Fikiria imefika saa mbili usiku na uko tayari kulala , umeshakula .umefanya kazi siku nzima na umechoka. Ni pamoja na kutengeneza chakula kizuri kwa siku hio sio rahisi.

Mwisho wa siku huna nguvu , unapokaa kwenye kochi na kuwasha luninga yako, kitu cha kwanza unachokiona ni chips kuku, ice cream, soda, na cookies. Hata kama ulikula saa kumi na mbili na nusu, lakini unasikia njaa kwa sababu ya kuona na kutamani.



Kwa mifano hii napendekeza, kuanza kujidhibiti mwenyewe hasa wakati ukiwa umechoka. Unaweza kuepuka vitu hivyo hata kama unajisikia kuwa na stress za aina gani au unakuwa umeboreka . Kitu cha kufanya ni kutokuweka hivyo vitu nyumbani kwako . kila unaposikia kutafuna ukienda kwenye friji huwezi kupata , matokeo yake , utaamua kubaki na hamu yako.
 
Wakati mzuri wa kula ni kuanzia saa kumi na mbili na nusu mwisho saa moja usiku. Huu ndio muda mzuri wa kula . sasa hapo kuna kazi kwa wale ambao wamezoea kula saa tatu usiku au saa nne usiku. ..

Hapa ni kwa ajili ya watu wote wanaotaka kupungua uzito na kuwa na afya nzuri , sio sheria . kwa sababu hio kifungua kinywa unaweza kupata kuanzia saa moja asubuhi kama kawaida kiwe ni cha nguvu.
 
Utafanyaje kwa wewe ambaye unasikia njaa baada ya kula chakula chako muda wa saa moja usiku.

Unaweza kula vyakula ambavyo havina matatizo kama vile matango, nyanya, vitunguu, au tafuna mbegu za maboga.

Au unaweza ukaanza kusoma kitabu ambacho kitakuweka bize na hutasikia njaa na wakati huo unaweza kuwa na kikombe cha chai ya tangawizi na mdalasini.

Njia nyingine nzuri ya kuepuka kula vyakula vidogo vidogo usiku ni kupiga mswaki baada ya kula chakula chako cha usiku.. Kwa hio angalia ni mbinu gani itakusaidia ili uache kula usiku.
 
Tambua akili yako inakuambia nini. Mara nyingi kula kwetu inaletwa na msukumo tunaojiambia wenyewe. Mimi nimekuwa na tabia moja kuwa , nimekula vizuri leo, nahitaji niheshimu utaratibu wangu, kwa sababu hivi vitu havitaisha siku zote vipo. Lazima tuamini kuwa hatutaweza kuwa na furaha kama tukiendelea kula kula kila mara , hasa wakati wa usiku.

Inaweza kuwa ni ngumu hasa unaposikia mawazo haya , lakini ugumu utakuwepo tu mwanzoni, lakini baadae utaona uzuri wake utakapofahamu ni kitu gani unatakiwa ukifanye ili kufikia malengo yako ulionayo.
 
Hutaweza kuacha mara moja au kwa haraka kitu ambacho umekizoea, huenda kuna hisia zilizoko katika kula hivi vitu na tunajaribu kuviepuka. Inaweza kuwa ni upweke, au ni wakati wa hasira . Unaweza kuanza kuacha taratibu kimoja kimoja , na mwisho wake utaachana navyo vyote
 
Watu wenye wasiwasi na afya wana hatari ya kupata ugonjwa wa moyo, kuwa na mawazo mengi, afya ya saikolojia ni tiba ilio bora sana.

Watu wengi huwa na furaha endapo matokeo ya kipimo yatakuwa negative…lakini kwa asilimia kubwa wengi hupata nafuu, na wengine hawapati nafuu kabisa. Kama una wasiwasi na afya yako , hakuna kipimo cha ukweli kitakachokuhakikishia wewe.

unaweza ukatafuta sehemu zote na usipate kwa ajili ya dalili ulizonazo.

Ukweli ni kwamba , wasiwasi wa afya yako utaufanya mwili wako uugue. watu wenye wasiwasi wana nafasi kubwa ya kuendelea magonjwa ya moyo kwa miaka kumi na zaidi, ukilinganisha na wale ambao hawana wasiwasi.
 
Suluhusho.

Ugonjwa wa wasiwasi ni ugonjwa hatari . inahusisha mwili wako kwa karibu sana , kushindwa kuelewa dalili na mara nyingi kujaribu kutafuta ushauri wa matibabu.

Kama una ugonjwa wa wasiwasi , acha mara moja kuogopa kuhusu kuwa mgonjwa , ni vizuri zaidi kuliko kuwa na unafuu wa dalili za mwili. hata hivyo , watafiti waliona hilo kuwa ni tatizo kubwa linalopelekea kupata ugonjwa wa moyo.

Utafiti mpya unachukulia hili kama mtindo wa maisha ya mtu ndio unaomletea magonjwa haya. lakini ilikuwa ni vigumu kuutenga ugonjwa halisi kuwa ni kisababisho cha ugonjwa wa wasiwasi.

Ukiwauliza watu wenye dalili za magonjwa utegemee kupata wenye ugonjwa wa wasiwasi hapo.
 
Umekuwa na hofu sana kwenye tatizo hili?, Umekuwa ukiogopa sana kuhusu afya yako kwa ujumla? Umewahi kuhisi kuwa tatizo lako ni kubwa kuliko alivyogundua dactari wako? Kama jibu ni ndio kwa swali lolote kati ya hayo. Anahitaji msaada . jibu rahisi rahisi halimsaidii. Anahitaji tiba ya saikolojia ili kubadilisha mawazo alionayo kuhusu hilo tatizo.
 
Dalili tu zenyewe huleta wasiwasi, kama maumivu ya kifua, inaweza kuwa amepata maumivu hayo katika sehemu yake ya kazi. hali ya kazi yake imemfanya apate maumivu. Na hayo maumivu huanza taratibu:Au pengine kapungua uzito ghafla, huenda ni kutokana na chakula anachokula kipindi hicho , lakini tayari wasiwasi unaingia ndani yake.

Huenda amepata maumivu kutokana na kufiwa na mtu wa muhimu kwake, Matibabu yake ni kuwa na utulivu , Na faida yake inaonekana ni ya muda mrefu bila ya kuwa na wasiwasi. Lakini ukianza kuhofia mapema utasababisha matatizo mengine makubwa ambayo hayana matibabu ya kirahisi.
 
Kama huwa unafanya vipimo mara nyingi na huna uhakika na matokeo , tegemea kwamba una hali ya kuwa na ugonjwa wa wasiwasi.

Tafuta msaada wa kisaikolojia haraka ili uepukane na matatizo mengine.
 
Haya wafanya diet kazi kwenu acha niendelee kusosomola mm na huu ubonge diet hainihusu kabisa
Wakati mzuri wa kula ni kuanzia saa kumi na mbili na nusu mwisho saa moja usiku. Huu ndio muda mzuri wa kula . sasa hapo kuna kazi kwa wale ambao wamezoea kula saa tatu usiku au saa nne usiku. ..

Hapa ni kwa ajili ya watu wote wanaotaka kupungua uzito na kuwa na afya nzuri , sio sheria . kwa sababu hio kifungua kinywa unaweza kupata kuanzia saa moja asubuhi kama kawaida kiwe ni cha nguvu.
 
Suluhusho.

Ugonjwa wa wasiwasi ni ugonjwa hatari . inahusisha mwili wako kwa karibu sana , kushindwa kuelewa dalili na mara nyingi kujaribu kutafuta ushauri wa matibabu.

Kama una ugonjwa wa wasiwasi , acha mara moja kuogopa kuhusu kuwa mgonjwa , ni vizuri zaidi kuliko kuwa na unafuu wa dalili za mwili. hata hivyo , watafiti waliona hilo kuwa ni tatizo kubwa linalopelekea kupata ugonjwa wa moyo.

Utafiti mpya unachukulia hili kama mtindo wa maisha ya mtu ndio unaomletea magonjwa haya. lakini ilikuwa ni vigumu kuutenga ugonjwa halisi kuwa ni kisababisho cha ugonjwa wa wasiwasi.

Ukiwauliza watu wenye dalili za magonjwa utegemee kupata wenye ugonjwa wa wasiwasi hapo.
Mmesikia nyie wana wa adam
 
Back
Top Bottom