Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tukabiliane nayo, matatizo ya tumbo ni makubwa na yanaudhi. yanaharibu mood yako, appetite yako, na hata maisha yako.

kwa kifupi , ni mwanzo wa kuanza siku mbaya.Hata hivyo, haitakiwi kuwa hivyo, kama kila mara ulalamika kuhusu kukosa haja kubwa na tumbo kujaa, Angalia hizi mbinu sita ambazo zitasaidia kuondoa tatizo na kukusaidia kuwa mwenye afya zaidi

1.A banana A Day Keeps The Doctor Away.



Vitamini B6 inapatikana kwenye ndizi, amabayo kwa kawaida husaidia kuodoa Acid tumboni. Ukweli, wale wanatumia matunda mengi na mbogamboga hawawezi kupata tatizo la kusumbuliwa na tumbo mara kwa mara, kujaa tumbo hakuna kwao.

Kuna makundi mawili , Kundi la kwanza linatumia vidonge vyenye vitamini B-6, B-12, B-9 , Pamoja na L- tryptophan, methionine, betaine na melatonin.



Kundi la pili linatumi omeprazole kulingana na maagizo . kati ya siku 40 dalili zote za acid hupotea kwenye kundi la kwanza , kwa hio kunakuwa na mafanikio asilimia 100.
 
2.Fahamu Umuhimu Wa Kichwa Na Mabega Ukiwa Umelala.



Umuhimu wa kuweka kichwa na mabega vizuri wakati umelala, inaweza kusaidia kuondoa acid wakati wa usiku kutokana na athari za uzito. weka mto wako vizuri, wachunguzi wanasema kwamba usipokuwa makini kulaza kichwa chako na mabega vizuri , unaruhusu nguvu inayotunza acid kutoka kwenye kuondoa esophagus, na kuongeza nafasi ya kupata kiungulia.
 
3.Lalia Upande Wa Kushoto.

Kama mto wako na godoro lako viko vizuri, itakuwa ni ngumu kwako kushare kitanda na mtu mwingine, basi mbinu ya pili inaweza isikusaidie. kwa kesi hio sasa, kwa urahisi tu kumbuka kulala upande wa kushoto kwako. kulala upande wa kushoto inasaidia tumbo lako kuelekea upande wa kushoto. kulingana na uzito. utajisikia vema siku nzima . hutasikia kujaa kwa upepo tumboni.
 
4.Tumia Maji Ya Kutosha.

Wote tunafahamu kwamba tunatakiwa kutumia kiasi gani cha maji kwa siku . glasi 8 -10. Unatumia kiasi gani cha maji kwa siku ? Kama unapata matatizo ya kutopata haja kubwa na kujaa upepo tumboni. kutumia maji kidogo utapata matatizo ya kiungulia. lakini kama utatumia maji ya kutosha hutasikia kiungulia .

Hata hivyo maji yatakupa nafuu ya muda tu. ukweli ni kwamba, ukiwa unatumia matunda na mbogamboga kwa wingi hutakutana na hili tatizo. zadi sana utapata faida nying zaidi ya hayo.
 
5.Tumia Oatmeal



Oatmeal ni bland na ina low fat food ambayo ni nzuri kwa tumbo lako.Ina nutrient ambazo ni tiba kwa tumbo lako. lakini inayeyuka kwa urahisi sana. Kwa hio unaweza pia kutumia hiki chakula kwa ajili ya kupata nafuu.
 
Back
Top Bottom